Posts

Showing posts from February, 2019
Image
Katika maisha yako jifunze kuwa mwangalifu na epuka kugombana na aliyebarikiwa na Mungu kwa sababu kila alitendalo linafanikiwa, kama atakukasirikia, Mbinguni wanakukasirikia pia na kama ameumizwa na wewe Mbinguni pia wanaumia, hivyo usije kushangaa baada ya miaka kumi ndiyo hukumu yako inakujia kwa sababu tu ulimgusa aliyebarikiwa na Bwana. Hakuna aliyemgusa Mbarikiwa wa Bwana akafanikiwa katika Maisha yake, hivyo ili uweze kukutana Baraka zako ambazo Bwana amekuandalia katika Maisha yako jifunze kuwaheshimu waliobarikiwa na Bwana. :-Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Image
You can find out that it is mostly women who will be the first complain to God about the husbands coming home late. What they don’t ask themselves is why he is coming home late? She will start by saying that he doesn’t LOVE me at all. You need to know that if he didn’t love you he would not have married you at all. (Q.) Are you fulfilling your obligation as a wife? There is always a reason behind his change of character. The origin of Most MARITAL conflicts come from women; PROV 14:1 “1 The wisest of women builds her house, but folly with her own hands tears it down.” In order for you to have a blessed and successful marriage before God, learn to become wise so that you can BUILD your marriage and not DESTROY it. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira - EFATHA MINISTRY. Translation: Unaweza kumkuta mama ndiyo wa kwanza kupeleka maombi kwa Mungu kwamba huyu mume anachelewe kurudi nyumbani, lakini anashindwa kujiuliza kwanini anachelewa? Ataanza kusema
Image
THE BENEFITS OF KEEPING YOUR SALVATION: Know that you are chosen, you are saved because you are chosen and not because you had problems or you are witnessed to. Others will never get the grace to be born again, because they were not chosen. Ephesians 1:4             i. We were chosen to be holy and when God sees us in holiness and without blame, He becomes happy because He see we are keeping our salvat ion. Psalms 58:3             ii. He choose us to be the way we are, don’t look at your past but make your path straight, if in your heart you feel that you love Jesus then you were chosen. You will know you love Him by the things you expect Him to do and gratefully for those that He has already done. John 15: 16a              iii. So that you maybe His friend, because you are His friend every day you will see his love, so keep your salvation and you will see His love surround you everyday of your life. John 15: 15             iv. So that we may be called His sons and daughters.
Image
In this Year, there shall be an Awesome Turmoil within your Life, so as to make whatsoever that was preventing and disturbing you; to leave You. In this Turmoil, Goodness shall be attracted unto You. :- Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira (EFATHA MINISTRY). # Translation Mwaka huu kutakuwa na Mtikisiko wa kushangaza katika Maisha yako ili kuyafanya yale yaliyokuwa yanakuzuia na kukusumbua Yakuachie. - Katika Mtikisiko huu, utasababisha Mema ya milele Yakujilie. :- Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira (EFATHA MINISTRY).
Image
When you are given responsibilities, whether it be related to your faith or society; make sure that you protect your faith, and you do not need to complain concerning the challenges that you face. When any servant leaves his/her roles because of the pains he/she is going through; recognize that he/she has not accomplished the roles assigned unto him/her. Once you refuse to do the tasks assigned unto you by your leader, you cause your faith to decline and thus failure to reach your VICTORY; thus do not disturb your leaders who are ahead of you, but respect them and submit unto them; by doing so, you are doing for the Lord and protecting your faith; since once you protect your faith, VICTORY is mandatory. ©Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. #Translation Ukipewa Majukumu yoyote yawe ya Kiimani au ya Kijamii hakikisha unalinda Imani yako, wala usilalamike kwa hali utakayokutana nayo, Mtumishi yeyote akiacha nafasi aliyopewa kwa sababu ya
Image
My GOD will make You SHINE all the Days of Your LIFE.
Image
You may think about doing various things, but God looks at the wisdom used in your thoughts before giving you what you asked for. In order for God to give a person financial blessings, HE first looks at whether that person has wisdom within him/her, if it is not within him/her, he/she can't receive since he/she may misuse it. God knows that when his person lacks wisdom, WEALTH will mislead him/her and it will take him/her away from having fellowship with God and thus will become worldly. The wealth that the sons of God have, is so that they may build God's Kingdom, who is our Father; stay away from things that attract your eyes but keep hid upon the things that the Spirit of God and HIS word agree upon. ©  Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. # Translation Unaweza kuwaza ufanye mambo tofauti tofauti, lakini Mungu anaangalia Hekima iliyotumika katika Mawazo yako kabla ya kukupa kile ulichomuomba. Ili Mungu ampe mtu Baraka
Image
Don't fear to do anything that glorifies God, for God will enable you to accomplish it. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. # Translation Usiogope kufanya chochote ambacho kina Utukufu kwa Mungu, maana Mungu atakupa kukikamilisha. © Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Image
Whatever that you do, starts in the mind, all the creation that you see here on earth, was the thought of God at first; before the creation of the heavens and the earth, you first existed in God's mind, so nothing that you are going through which God does not know. You may say that God has forgotten you, but it is not so! God has not forgotten you, and HE thinks the best for you each day. You are HIS perfect creature, no matter the pain that you have. Do not separate yourself from God by refusing to do HIS WILL, do not look at the life that you went through or that you are going through today and hence refuse to love God; but look unto what God has prepared for you and your future. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira (EFATHA MINISTRY). # Translation Kila kitu ukifanyacho kinaanza katika akili, uumbaji wote unao uona hapa duniani yalikuwa ni mawazo ya Mungu, kabla ya kuumbwa kwa dunia wewe ulikuwa katika mawazo yake, hivyo hakuna kitu unachopitia
Image
The JOY OF THE LORD creates Your FUTURE.
Image
THE LOVE OF GOD: The LOVE of God is what enables a person to do the best at his/her work. God created the heavens and the earth and HE created man because HE loved to do so. HE LOVED TO CREATE. The same applies to you, if you want to create anything, you must first LOVE it, then shall you be able to do it. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. # Translation UPENDO WA MUNGU: "PENDO la Mungu ndilo linalomsababisha Mtu apende kufanya KAZI kwa UBORA. Mungu aliumba Mbingu na Nchi, akawaumba na Wanadamu kwa sababu alipenda kufanya hivyo, ALIPENDA KUUMBA HIVYO. Na wewe kama unataka Kuumba au Kubuni kitu chochote kile ni lazima UKIPENDE kwanza ndipo utaweza Kukifanya." © Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Image
What is the real meaning of Salvation? Salvation is not a unique lifestyle that others cannot be able to live, NO!!! But it is what Jesus does after receiving HIM. After receiving Jesus, HE does something in you day by day; so allow HIM to do so within your life. The life of man without Jesus Christ is the result of all evil, to the extent that man faces oppression which is a sign of God's wrath. Why did the Israelites stay in slavery for a long time within Egypt? It is because of Abraham's mistake. Abraham slept before God's presence once, and due to that God told him that his offspring shall be enslaved for four hundred years. A question to ask yourself! How many times do you sleep before the Lord's presence? You may think that it is a small issue, but you should be keen enough when you are in the Lord's house. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira- EFATHA MINISTRY. #Translation Nini maana halisi ya Wokovu? Wokovu siyo maisha ya
Image
RECOGNIZE THAT YOU ARE BEING MARRIED TO A PERSON WITH A GOOD REPUTATION AND NOT JUST HIS/HER BEAUTY: LOVE is what leads to a GOOD REPUTATION and not BEAUTY; the beauty of someone's face does not mean that such a person has a good reputation; because you may be married to a person with a good face and encounter chaos. You must make sure that you marry or get married to a person with a good reputation and not the beauty of his/her face, so that the life of your family may be better each day. © Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. # Translation TAMBUA KWAMBA UNAOA AU KUOLEWA NA MTU MWENYE SIFA NJEMA NA SI UREMBO AU UZURI WAKE: "UPENDO unasababisha SIFA NJEMA na sio SURA NZURI; Uzuri wa sura ya mtu siyo kwamba ndiyo huyo mtu ana Sifa Njema, maana unaweza Ukaoa au Kuolewa na mtu mwenye Sura Nzuri na akawa na KELELE tu. Unapaswa kutambua kuwa Unaoa au Kuolewa na Mtu MWENYE SIFA NJEMA na si UREMBO au UZURI wake, ili Maisha
Image
SOMO: IMANI; Waebrania 11:1 “Basi imani ni kuwa na HAKIKA ya mambo YATARAJIWAYO, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.” Imani ni nini? Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo, kile unachokitarajia ndiyo tunaita Imani. Imani huja kwa kusikia lakini inategemea unasikia nini wewe? Siyo kila unachokisikia kinataleta imani, bali kwa kusikia Neno la Mungu ndipo Imani inajengwa. Tunasikia Neno la Mungu kupitia kwa watu wanaomjua Mungu, hivyo unaposikia Neno la Mungu kwa umakini na ukatenda sawa sawa na kile Neno linasema unapata uhakika wa kile ulichokisikia, hii ndiyo Imani. Watu wengi leo hii wanakwenda Kanisani wanasema wanamwamini Mungu lakini hawaamini kile wanachokisikia kutoka kwa Watumishi wa Mungu, watu hawa ni ngumu sana kupata Imani. Kama unataka kuwa na imani sikiliza Neno la Mungu kutoka kwa Watumishi wake na utende sawa sawa na Neno linavyosema. © Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira - Efatha Ministry.
Image
From Now, GOD Has Allowed QUICKNESS in Your ACTIONS.
Image
THE LOVE OF GOD The LOVE of God is what makes the work of a person to be good; if you see anybody doing things diligently and with quality, recognize that, the LOVE of God is in him/her, because you cannot do something diligently if you do not love it. ©  Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. # Translation PENDO LA MUNGU: "PENDO la Mungu ndilo linalofanya Kazi ya Mtu iweze kuwa Nzuri, ukiona mtu anafanya Kazi kwa UZURI na UBORA jua kuwa PENDO la Mungu lipo ndani yake, maana huwezi kufanya kitu kwa UBORA kama hukipendi." ©  Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Image
THE LOVE OF GOD Ecclesiastes 7:1 "A good name is better than precious ointment; and the day of death than the day of one's birth." How shall you get a good name? It is by doing the BEST, you shall be able to gain a good name. When you do good things, you gain a good name before God and before people, but once you do what is bad, you gain a poor image. In order for you to do the BEST at anything, you must have LOVE within you; because LOVE is what causes you to do the Best and Gain good praises. You cannot do the best at anything if you do not have God, because GOD is LOVE. ©  Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Image
PENDO LA MUNGU: Mhubiri 7:1 “Heri sifa njema kuliko marhamu nzuri; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.” Utapataje SIFA njema? kwa kufanya VIZURI utapata Sifa Njema, unapofanya VIZURI Sifa yako inakuwa Njema kwa Mungu hata kwa watu pia, lakini unapofanya vibaya Sifa yako inakuwa mbaya. Ili uweze kufanya VIZURI katika kitu chochote kile lazima uwe na UPENDO ndani yako, kwa sababu PENDO ndilo linalosababisha UFANYE VIZURI na uwe na SIFA NJEMA. Huwezi kufanya Vizuri katika kitu chochote kile kama huna Mungu kwa sababu MUNGU ni PENDO. :- Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.