You may think about doing various things, but God looks at the wisdom used in your thoughts before giving you what you asked for.
In order for God to give a person financial blessings, HE first looks at whether that person has wisdom within him/her, if it is not within him/her, he/she can't receive since he/she may misuse it. God knows that when his person lacks wisdom, WEALTH will mislead him/her and it will take him/her away from having fellowship with God and thus will become worldly.
The wealth that the sons of God have, is so that they may build God's Kingdom, who is our Father; stay away from things that attract your eyes but keep hid upon the things that the Spirit of God and HIS word agree upon.
© Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Unaweza kuwaza ufanye mambo tofauti tofauti, lakini Mungu anaangalia Hekima iliyotumika katika Mawazo yako kabla ya kukupa kile ulichomuomba.

Ili Mungu ampe mtu Baraka za Fedha, anaangalia kama huyo Mtu ana Hekima ndani yake na kama haipo hapewi asijekuitumia vibaya, kwani Mungu anajua Mtu wake asipokuwa na Hekima MALI zitampeleka pabaya na zitamuondolea Ibada yake na YEYE, hatimae atafanya kama watu wa Duniani.
Mali walizonazo Wana wa Mungu ni kwa ajili ya kuujenga Ufalme wa Mungu aliye BABA YETU, epuka mambo ambayo macho yako yanatamani bali zingatia yale ambayo NENO la Mungu na Roho wa BWANA wanaridhia uyafanye.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments