Katika maisha yako jifunze kuwa mwangalifu na epuka kugombana na aliyebarikiwa na Mungu kwa sababu kila alitendalo linafanikiwa, kama atakukasirikia, Mbinguni wanakukasirikia pia na kama ameumizwa na wewe Mbinguni pia wanaumia, hivyo usije kushangaa baada ya miaka kumi ndiyo hukumu yako inakujia kwa sababu tu ulimgusa aliyebarikiwa na Bwana.
Hakuna aliyemgusa Mbarikiwa wa Bwana akafanikiwa katika Maisha yake, hivyo ili uweze kukutana Baraka zako ambazo Bwana amekuandalia katika Maisha yako jifunze kuwaheshimu waliobarikiwa na Bwana.
:-Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."