Posts

SIKU YA PILI YA KUSANYIKO KUU LA EFATHA 2013

Image
  Huu ni Mwaka wa Mashangilio,... Wana wa MUNGU wakipeperusha Bendera katika Maaandamano ya Bendera kwa BWANA MUNGU Wetu.   Kwa YESU BWANA MUNGU Wetu ni RAHA, FURAHA na AMANI Tele, kwa maana YEYE TUNAYEMTUMTUMAINI na KUMWAMINI Alikwisha Kuushinda Ulimwengu toka Miaka 2000 iliyopita, TU HURU SASA Kwa JINA LAKE KUU BWANA na MWOKOZI WETU YESU KRISTO, Haleluya!!!   Wana wa MUNGU wa kutoka Eneo la Ushindi, wakishika Bendera na wakiandamana kwa Furaha na Shangwe...   Wana wa MUNGU wa Kabila la Wamasai wakiwa nao katika Mashangilio,... Kusanyiko KUU la BWANA 2013   Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akiweka saini kitabu cha Wageni Mashangilio Hospital wakati wa Uzinduzi.   Mtumishi wa MUNGU akiangalia Picha iliyokuwa hapo Hospitalini.   Mtumishi wa MUNGU Akiweka sahihi kitabu cha Wageni baada ya kumaliza Ziara ya Ufunguzi wa Hospital ya Mashangilio, Kibaha Precious Centre. ...

UZINDUZI WA KUSANYIKO KUU LA EFATHA 2013

Image
Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akiwa Madhabahuni akifungua Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu MKUU wa Efatha, Asante YESU.     Ufunguzi wa Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu Aliye MKUU na MMUWEZA jana Tarehe 07October 2013 Kibaha Precious Centre Mji wa BWANA. Waimbaji wakiimba na kucheza mbele za Madhabahu ya BWANA BABA MUNGU Wetu MKUU,... Katika Ufunguzi wa Kusanyiko KUU la BWANA Takatifu 2013     Ni Shangwe na Furaha tele, Nyumbani kwa BWANA MUNGU wetu BABA MKUU,... Ooooh Haleluyaaaa, Asante YESU, Tuko Nyumbani mwa BABA katika Mji wake Mtakatifu Precious Centre!   Haleluya,... MUNGU wetu ni MKUU, Oooh Shangwe na Furaha tele... Mwaka wa Mashangilio... Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu limeanza jana Usiku,... Oooh UTUKUFU ni Kwa BWANA Wetu YESU KRISTO Aliye Hai, Haleluya.    

KUSANYIKO KUU 2013

Image
Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, akisalimiana na Watumishi wa MUNGU walioko kwenye Bodi mbalimbali za Efatha Ministry.   Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira akisalimiana na Watumishi wa MUNGU walioko kwenye Bodi za Efatha Ministry. Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira wakiwapa mikono na kuwashukuru Wana wa MUNGU waliojitolea kufanya kazi ya BWANA ya Ujenzi wa Madhabahu Mpya ya BWANA MUNGU Wetu.   Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, akisalimiana na Watumishi wa MUNGU Wachungaji na wafanyakazi wa Makao Makuu ya Efatha na Mwenge Dar es Salaam.

MANENO YENYE HEKIMA NA UFAHAMU

MANENO YENYE HEKIMA NA UFAHAMU: (Mkalimani Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira). ''MUNGU Anasema, “Wenye Haki wana mateso mengi”! Watu watasema, mbona huyu ana shida sana, mbona yuko hivi na hivi….waambie ni kweli maana wenye haki wana mateso mengi! Wayahudi ni watoto wake MUNGU, na MUNGU Alimwambia Ibrahim Atambariki na Watoto wake wote lakini wakawa Watumwa katika Nchi ya M isri. Wakamlilia MUNGU katika shida zao, katika maangamizo yao Wakamlilia BWANA kwa miaka 400 na BWANA AKAWAOKOA. “Usione nina mateso mengi, yupo ANAYEKUJA KUNIOKOA”! N.B. Kutoka Kanisa kwenda Kanisa, kwenda mikutano mbalimbali ya maombi HAIWEZI Kukutoa kwenye Matatizo mpaka UTAKAPOAMUA KUTOKA KWENYE TATIZO, Mpaka UTAKAPOAMUA na KUAMINI na KUKUBALI KWAMBA HAKI yako INATOKA kwa MUNGU na UNAIPATA kwa Sababu YESU KRISTO AMEKUFA KWA AJILI YAKO na AMELIPA DENI ZAKO ZOTE (Hapo ndipo UTATOKA KWENYE TATIZO). Lakini bila ya kuelewa hivyo, utazunguka Makanisa mengi na Utaombew...

KUWEKWA WAKFU MBELE ZA BWANA

Image
Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira, akiongea na Wana wa MUNGU kabla ya kuanza kuwaweka Wakfu wanae kwa ajili ya BWANA   Mtumishi wa MUNGU Joshua Josephat Elias Mwingira, akijibu SWALI Aliloulizwa ''KAMA YUKO TAYARI KUMTUMIKIA MUNGU BWANA WETU na BABA YETU",... Joshua ALIJIBU "YUKO TAYARI KUMTUMIKIA MUNGU WETU na BABA YETU ALIYE MKUU"       Mtumishi wa MUNGU Anna Josephat Elias Mwingira, akijibu SWALI Aliloulizwa ''KAMA YUKO TAYARI KUMTUMIKIA MUNGU BWANA WETU na BABA YETU",... Anna ALIJIBU "YUKO TAYARI KUMTUMIKIA MUNGU WETU na BABA YETU ALIYE MKUU"   Wana wa MUNGU Joshua na Anna wakiwa wamepiga magoti tayari kwa Kupakwa Mafuta kwa ajili ya UTUMISHI kwa MUNGU WETU BABA ALIYE MKUU na MMWEMA Sana.   Wana wa MUNGU wakiwa wamepiga magoti kwa Unyenyekevu tayari kwa UTUMISHI.

KUSANYIKO KUU LA BWANA 2013 LIMEKARIBIA

Image
Mtumishi wa MUNGU Natushila akionyesha Vazi la Kanga, ambalo linafaa kwa Watu wote, Wakina baba wanaweza kushona Vitenge... Ni Vazi Zuri la Kusanyiko hili la Baraka tele kwa MUNGU wetu ALIYE MKUU na MUWEZA   Haleluya,... KUSANYIKO KUU LA BWANA 2013 Limekaribia,... Kibaha Precious Centre, Tanzania. Wana wa MUNGU Tusikose Baraka hii Aliyotujalia MUNGU WETU MZURI. ''Watumishi wa MUNGU akiwapo Suzy Msofe wakionyesha Mavazi yenye NGUVU ya MUNGU WETU MKUU ya Mwaka huu 2013''