KUSANYIKO KUU 2013

Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, akisalimiana na Watumishi wa MUNGU walioko kwenye Bodi mbalimbali za Efatha Ministry.


 Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira akisalimiana na Watumishi wa MUNGU walioko kwenye Bodi za Efatha Ministry.


Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira wakiwapa mikono na kuwashukuru Wana wa MUNGU waliojitolea kufanya kazi ya BWANA ya Ujenzi wa Madhabahu Mpya ya BWANA MUNGU Wetu.



 Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, akisalimiana na Watumishi wa MUNGU Wachungaji na wafanyakazi wa Makao Makuu ya Efatha na Mwenge Dar es Salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."