KUSANYIKO KUSANYIKO KUSANYIKO.
KUSANYIKO KUU TAKATIFU LA MWAKA 2019 limewadia......
Mwaka wa USHINDI, Mwaka wa MAREJESHO: Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira pamoja na Wapakwa Mafuta Watumishi mbalimbali wa MUNGU watakuwepo kwa ajili yako kukuhudumia Wewe Mwana wa MUNGU na Wooote wenye Mapenzi Mema.
Njoo uzidi kupokea PENDO LA MUNGU, Njoo upokee VIPAWA.
Na woooote wenye kuteswa na kuonewa, huna Amani, huna Furaha. Kazi, Biashara zako, Ndoa yako haiko vizuri, Watoto, Wazazi, Ndugu, Familia, Rafiki, woooote...... Mje MPOKEE UPONYAJI, Njoo UTANGAZE UPONYAJI WAKO.
Tarehe ni kuanzia tarehe 6 Oktoba (Jumapili jioni) hadi 13 Oktoba 2019.
Mahali: Kibaha Precious Centre Mji wa BWANA, Mkoa wa Pwani.
USIKOSE, YESU anakupenda, YESU anakujali.
#SHARE IT, #MJULISHE MWENZIO.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."