Always SECURE your Income before you begin to spend it. First of all tend to your Business and once it begins to add Profit, you can then build a House by that Profit earned in the Business. Do not begin to use the same Business Money for other expenses that are not Business oriented. If you do that you shall see a drop in your Economy day by day.
Don’t use your Business Capital for other things. Maintain your Capital so that you can see Progress. Reduce unnecessary Expenses and your Business shall RISE faster.
© Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Translation:
Siku zote weka Ulinzi kwanza wa Mapato yako kabla ya kuanza kufanya Matumizi, tengeneza Kazi yako kwanza ukiona inaanza kuleta Faida ndipo ujenge Nyumba kupitia hiyo Faida ya Biashara yako, siyo unaanza kuchukua hela hiyo hiyo ya Biashara unaanza kufanya matumizi mengine yasiyo ya kibiashara ukifanya hivyo utoona Ustawi ukitokea kwako bali utaona unazidi kushuka kiuchumi siku hadi siku.
Usitumie Mtaji wako wa Biashara wa ajili ya Matumizi mengine bali tunza Mtaji wako ili uwone Ustawi, punguza Matumizi yasiyo na ulazima ukifanya hivyo utaona Biashara yako ikiinuka kwa haraka zaidi.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments