THE ONLY WEAPON OF VICTORY IF YOU HAVE HELD IN THE VALLEY OF THE SHADOW OF DEATH.
1. The Word of God should stay in you a lot.
2. Be filled with the Holy Spirit.
© Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
 Translation:
SILAHA PEKEE YA KUSHINDA UWAPO KATIKA BONDE LA UVULI WA MAUTI.
1. Neno la Mungu lijae kwa wingi sana ndani yako.
2. Uwe umejaa Roho Mtakatifu ndani yako _ unaweza kububujika kwa kunena kwa lugha wakati wote hali hiyo inapokujia mahali popote.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."