If you want to go to Heaven, you must have the Power of God in you that gives you a Good Relationship and the Ability to do the Will of God. The Children of God on the way to Heaven shall never prosper by using the power of darkness while the children of darkness always prosper using the power of darkness because it is their fate.
If you have a problem, you should know that there is a Power missing in you. So you need to seek the Power of the Blood of Jesus which exceeds all other powers to enable you to overcome any problem you might be having.
© Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.
Translation:

Kama unataka kwenda Mbinguni ni lazima uwe na Nguvu ya Mungu ndani yako itakayokupa Mahusiano mazuri na kukuwezesha kufanya Mapenzi yake kwa Ukamilifu. Wana Mungu wanaokwenda Mbinguni hawawezi Kustawi kwa kutumia nguvu za giza, lakini wana uovu wanastawi kutumia nguvu za giza kwa sababu ndiyo fungu lao.
Hivyo ukiona jambo lolote linakusumbua jua kwamba ndani yako Nguvu ya Uwezesho imekosekana, kwa hiyo itafute Nguvu ya Damu ya Yesu inayozidi nguvu zote ili iweze kukuvusha katika Jambo au Tatizo linalokusumbua.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments