Most youths want to enter into Marriage without PREPARATIONS. This means that, they want to enter into the school of Marriage but don't know what they will eat or where they will sleep. You need to understand that, "if you have Married and you are not working, it is so hard to gain respect within your Family". Even when you take a look in our stewardship within the Kingdom of God, those servants who have been called by the LORD don't face the same challenges compared to those who called themselves into ministry.
Always and all the time, whatever that you want to do; put God FIRST and do not rely on your MIND because once you decide to start with God at everything, it is so easy to get HIS ASSISTANCE.
© Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Translation.
Vijana wengi wanataka Kuoa lakini HAWAJAJIANDAA yaani hawajui watakula nini wala watalala wapi, elewa kama Umeoa na hufanyi kazi ni shida SANA kupata HESHIMA kutoka kwenye Familia yako, hata ukiangalia katika UTUMISHI wa Mungu wale Watumishi walioitwa na Bwana Yesu wamtumikie hawapati matatizo kama wale ambao wametaka Utumishi ili wanonekane kama mtu Fulani waliyemuona ana hali nzuri kupitia Utumishi.
Siku zote JAMBO lolote unalotaka kulifanya anza na Mungu na usitumie AKILI ZAKO maana unapoamua kuanza na Mungu katika kila jambo lako ni rahisi sana kupata MSAADA wake.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments