If you believe that there is a Healer, you also need to know that there is also a Destroyer who is Satan, the boss of all curses. You will never enjoy life; (even though you talk in Tongues) if there is something oppressing you. Make a decision to turn to the LORD because HE will heal you from all that is oppressing you.
When all of your suffering has left, you will say that, “I was tortured, but the Lord has HEALED me,” because the Lord will let HIS Glory come into your Life and everything that is against you shall be removed.
©Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Translation:
Kama unaamini yupo Aponyae unatakiwa kujua pia yupo aharibuye ambaye ni Shetani boss wa laana, huwezi kupata Furaha katika Maisha yako hata kama unanena kwa Lugha kama yapo yanayokutesa na kukukandamiza, Amua kumgeukie Bwana, maana unapomlilia Bwana katika hayo yanayokutesa. Bwana ATAKUPONYA na KUITULIZA dhoruba na kuwa Shwari.
Maana yanayokupeperusha na kukutikisa yatakapoondoka kwako nawe utasema “niliteswa sana lakini Bwana AMENIPONYA” kwa sababu Bwana ataruhusu NURU ikujie katika Maisha yako hivyo chochote kilicho kinyume na Mapenzi yake lazima KITAONDOLEWA.
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, FATHA MINISTRY.

Comments