You may see that some people go through hardship and a chaotic lifestyle whose source is not recognized, but once you observe the source of what they are going through; it is because they do not take hid on what they are instructed by their leaders.

This makes them see that the pain that they are going through is part of life, but in this year of VICTORY desire to be different so that you may encounter what God has intended for you in this Year; agree to OBEY and follow the INSTRUCTIONS that you are instructed by your Leader, because by doing so, you are paving your way towards VICTORY within your Life.

©Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Unaweza kuona watu wengi wanapita kwenye misukosuko na maumivu makali ambayo hawaelewi kiini chake, lakini ukija kuangalia chanzo cha mateso yao ni kwa sababu HAWAZINGATII yale wanayoelekezwa na Viongozi wao.


Inawasababishia waone maumivu wanayopitia ni sehemu ya Maisha, lakini katika Mwaka huu wa USHINDI amua kuwa tofauti ili uweze kukutana na kile ambacho Mungu amekukusudia ukipate kwa Mwaka huu, kubali KUTII na kuyafuata MAAGIZO unayoelekezwa na Kiongozi wako, maana ukifanya hivyo unajitengenezea Njia ya kupata USHINDI katika Maisha yako.

©Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments