MATUKIO KABLA YA MWAKA MPYA.
IBADA MAALUMU YA WANA NDOA (KUBARIKI NDOA NA KUBARIKI PETE ZAO.) - EFATHA MINISTRY MWENGE:
© Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.

Mungu amekusudia kukutendea MEMA katika Familia yako hivyo usije ukasema ni Nguvu zako ndio zimekutendea bali umkumbuke BWANA Mungu wako maana ndiye akupaye Nguvu za kupata Utajiri alizowapa baba zako.


Mche Mungu, hata kama ukatajirika kuliko waliotajirika kamwe usimwache Mungu, endelea kumtumikia YEYE siku zote za Uhai wako.










Comments