IBADA YA KWANZA TAREHE 23/12/2018.
MTUMISHI WA MUNGU MAMA ELIAKUNDA MWINGIRA.
Huu ni Mwaka wa NGUVU na unaishia sasa, tumetembea na Mwaka huu tangu Mwezi wa Kwanza Je! NGUVU YA MUNGU ipo kwako?
NGUVU ni Nini, na ni nani aliyenayo? Ni Mungu mwenyewe, Mungu ni MTAKATIFU hivyo yeyote anayeitaka NGUVU ya Mungu ni lazima awe MTAKATIFU.
NGUVU ya Mungu ndiyo inayo Okoa na kumtoa mtu kutoka katika uovu, NGUVU hii inaweza Kumsamehe mtu, inakupa Kujibaini, Kujitambua na Kujua Mema na mabaya.
Ni kwa kiasi gani hiyo NGUVU ya Mungu imetenda Kazi ndani yako, Inawezekana unaishia kusema tu kuwa huu ni Mwaka wa Nguvu lakini hiyo NGUVU haijatenda jambo lolote katika Maisha yako. NGUVU ya Mungu itakupa Kujua kama kuna Mabadiliko kwako au la.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."