IBADA YA KWANZA TAREHE 23/12/2018 EFATHA MINISTRY MWENGE
MTUMISHI WA MUNGU MAMA ELIAKUNDA MWINGIRA.
Yupo adui anayeifanya NGUVU ya Mungu isikae Ndani yako.
       • Ni TABIA ya mtu husika, Tabia yako inaweza kukimbiza NGUVU ya Mungu Ndani yako, kama Tabia yako haijabadilika; tabia ya kiburi, kujiinua na kutokutaka kubadilika, tabia hzii ni adui mkubwa wa NGUVU ya Mungu.
      • Kiburi, hasira ni maadui wakubwa wa NGUVU ya Mungu.
      • Chuki, hii ni tabia ambayo inafanya NGUVU ya Mungu isikae ndani yako.
      • Masengenyo; tumefika mahali Watakatifu tumezoea tabia hii ya masengenyo, imewabana sana Watakatifu wa Mungu hata kupelekea NGUVU ya Mungu kutokukaa kwao. Kama kweli wewe ni Mwana wa Mungu na unapenda kutunza NGUVU ya Mungu ndani yako epuka Masengenyo, ukiona mwenzako amekosea mwite na umuonye lakini usimseme pembeni maana haitamsaidia.
     • Uongo, magomvi, manung’uniko na tamaa mbaya ni adui wa NGUVU ya Mungu.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."