When you come closer to a person who has JOY; you will be motivated and inspired to think better about your FUTURE. But when you come closer to a Person who has sorrow, you will fill petty about yourself and you will be reminded about your sorrows.

©A Servant of GOD Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

TRANSLATIONS:

Ukiwa karibu na mtu mwenye FURAHA itakuhamasisha kuwaza vyema kuhusu UBAADAE wako. Lakini ukiwa karibu na mtu mwenye huzuni, itakupelekea kujihurumia na kukumbuka machungu yako. "Ili ufanikiwe, unahitaji kuwa na FURAHA."

 ©Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira (EFATHA MINISTRY).



Comments