"Kabla hujazungumza chochote, acha kinywa chako kieleze kuhusu BABA yako wa mbinguni. Zungumza kuhusu Nguvu zake, Mamlaka yake, Uweza wake, Utajiri wake na Ufalme wake."
© Mtume na Nabii Josephat E. Mwingira (Efatha Ministry)

Comments