2 Kor 6:17 -18 "Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. NITAKUWA BABA KWENU, Nanyi mtakuwa kwangu WANANGU wa kiume na wa kike, asema BWANA MWENYEZI".

Anapozungumzia awe Baba tena Baba Mwenyezi ana maana gani? Ana maana YEYE atakutunza kama Mtoto wake nawe utakaa kwa salama bila kitu kukutikisa wala kupungukiwa na kitu. Kama Neno lisemavyo:
2 Kor 6:1-10 "Nasi tukitenda kazi pamoja naye, twawasihi msiipokee Neema ya Mungu bure. (Kwa maana asema, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokovu nalikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndio sasa.) Tusiwe kwazo la namna yo yote katika jambo lo lote, ili utumishi wetu usilaumiwe; bali katika kila Neno tujipatie sifa njema; kama watumishi wa Mungu...........".

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."