SOMO: KUZINGATIA.

FAIDA ZA KUZINGATIA.

Unapoamua KUZINGATIA moyoni mwako unasababisha TOBA, UPONYAJI na MABADILIKO KATIKA MAISHA yako, pia unasababisha ile hali ya kuwa na kiburi na kujikweza iondoke kwako. Luka 11: 21 " Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena".

Kuzingatia kunaondoa mabishano, mashindano na kujihesabia haki na kunaleta USAIDIZI, MSAMAHA, HURUMA, SHANGWE NA KICHEKO. Hali yako ya KUZINGATIA itakuponya na kukurudisha kwenye yale Mungu aliyokukusudia.

Mtumishi wa Mungu Mama Eliakunda Mwingira - EFATHA MINISTRY.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."