Mass Choir na Chipukizi wakimwimbia KUMSIFU, KUMWABUDU, KUMTUKUZA na KUMCHEZEA MUNGU wetu MKUU Aliye BABA yetu Kipenzi wa Mbinguni ambaye Anayetupenda sana Wanawe, siku ya Ibada ya MWAKA MPYA 2018 "Mwaka wa NGUVU"
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Comments
Post a Comment