Waimbaji wa Efatha Chipukizi Team wakiongoza Ibada ya Sifa pamoja na Kuabudu katika Ibada ya pili, jana tarehe 24/12/2017 kituo cha Efatha Mwenge Dar es Salaam.
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Comments
Post a Comment