SOMO: WAZA KUHUSU MUNGU.

Amua KUBADILISHA Namna yako ya KUWAZA, umewaza sana kuhusu mume wako na mke wako, amua kuachana na hayo yote na uanze KUMTAFAKARI Mungu. Kama unataka Kuolewa au Kuoa anza KUWAZA kuhusu Mungu, Mungu akasema si vema mtu awe peke yake, kama unataka kupata Mume au Mke mzuri WAZA KUHUSU Mungu na hutapata Kiloriti bali utapata Mume/ Mke kutoka kwa Mungu. Unapoamua KUWAZA kuhusu Mungu wakati watu wapuuzi wakikutamkia laana Mungu anageuza kuwa BARAKA.

"NAKUTAMKIA Wiki hii laana yoyote uliyotamkiwa inageuzwa kuwa BARAKA".

Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira -Efatha Ministry.

Comments