SOMO: WAZA KUHUSU MUNGU.

Je wewe UNAWAZA Nini kuhusu Mungu? Watu wanaowaza sana kuhusu Mungu, wakati wa njaa wao Wanavuna sana, wakati vitu vimechacha WAO wana Utele. Watu wanao MTAFAKARI Mungu wakati wa kuzimia wao Wanapaa. 

Badilisha namna UNAVYOFIKIRI, anza Kufikiri kuhusu Mungu, watu wengi wanafikiri sana namna ya kupata pesa, watavaaje, watasomeshaje watoto wao, lakini mimi NAWAZA kuhusu Mungu, niko tayari hata kufa kwa ajili YAKE.

Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira - Efatha Ministry (Efatha Ministry).

Comments