SOMO: NGUVU YA MUNGU .
Nguvu ya Mungu ni tunda ambalo linapatikana baada ya Neema ya Mungu Kuja juu ya mtu.
Katika uwepo wa mtembeo wa Nguvu ya Mungu, Roho ya uweza inakuwa kazini. Popote palipo na Nguvu ya Mungu Roho ya Uweza inakuwa Karibu.
Nguvu ya Mungu inafukuza umaskini, inarahisisha kazi, inaondoa uchovu na kufanya mambo kuwa mepesi. Unapompokea Yesu kuwa Bwana na Mokozi wa maisha yako unaipata hiyo nguvu.
Nguvu hii itakuinua juu na itakupa mahitaji yako na kukuondolea kila aina ya kudharauliwa. Ukiwa na Nguvu ya Mungu maisha yako yote hauta dharauliwa wala kupuuzwa.
Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."