MTUMISHI WA MUNGU MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA :
Kutokana na ile taji ya miiba YESU aliyovalishwa kichwani mwake, mawazo yako yamekombolewa hivyo hutafikiria mambo madogo madogo, uovu hautakuwa kwako, huta jiona mdogo tena, wakati wote utajiona mtu mkuu na wakuu watasikiliza mausia yako.
Mume/mke wako, familia yako na Boss wako watakusikiliza. Kuanzia sasa Wewe ni mshindi.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."