UKO TAYARI KUBADILISHA MUELEKEO WA KILE ULICHOKISIKIA: (Sehemu ya Nne).
Tumia MUDA wako mwingi katika kile ambacho unataka KIKUPE FAIDA, chukua Kalamu na Daftari, Haleluya, Chukua Kalamu na Daftari uwe una CHORA kila saa Muundo wa Serikali yako ya Kampuni, Muundo wa Utendaji, Namna utakavyoendesha Biashara zako, Unaandika kwenye Daftari lako, unalifunga, unaliweka Pembeni, Unakaa baada ya Miezi miwili tena, unachukua Daftari lingine, UNAPANGA tena, Unakumbuka Vizuri au Utakuwa umesahau, Unarudia tena, Unaweka pembeni, unakaa tena Mwezi mwingine, UNAUMBA tena, mpaka Unaona KWELI SASA kila kitu KIMEKAA.
:- Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Mwenge Dar es Salaam, Tanzania, EFATHA MINISTRY.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."