IBADA EFATHA MINISTRY MWENGE DAR ES SALAAM:
MTUME NA NABII JOSEPHATI ELIAS MWINGIRA.
Mambo MAWILI yanayoweza KUMFURAHISHA MUNGU ni:-
• (1) Moyo wa SHUKRANI.
• (2) Moyo wa KUMTAFUTA Mungu na KUTAFUTA MTU Mmoja ili AMJUE Mungu.
Ukifanya haya Mambo MAWILI kwa SHUKRANI na kwa BIDII naamini kwa MOYO wangu wote hatakama ulikuwa huoni njia katika Maisha yako Mungu ATAKUFUNGUA macho.
Mungu Anapenda MTU mwenye Moyo wa SHUKRANI, Mshukuru YEYE Mwambie Asante kwa Miguu maaana wako watu ambao hawana miguu, mwambie ASANTE kwa sababu wengine wako mochwari lakini Wewe amekupa AFYA Njema.
Safari hii tuna ajenda moja tu ya KUTAFUTA wale Wasiomjua Mungu ili WAZIACHE Njia wanazoziendea na WAMRUDIE Mungu, Utakapo mpata huyo MTU hakikisha ANAKUWA Kiroho kama Wewe. Mungu hadhihakiwi, kile utakacho fanya ndicho kitakachokuwa.
Mungu HATANIWI, na hicho Unachokifanya ndicho kitakachokuwa. AMUA Kubadilika na KUACHA yale Yasiyompendeza Mungu na fanya ili MUNGU Aakufurahie.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."