USHUHUDA Naitwa MACKDONALD MAANYA: Natoka eneo la Shalom zone ya Ebenezer, napenda kumshukuru MUNGU kwa yale aliyonitendea, ni mengi sana lakini kubwa kabisa napenda kumtukuza MUNGU kuhusu Ndoa yangu yametokea mambo Mengi na vikwazo vingi lakini nilisimama kwamba jambo hili lazima liwezekane na hatimaye tulifunga Ndoa Takatifu katika Madhabahu ya Efatha na pia Mungu ametujalia mapacha SHONE na SAMWEL. Namshukuru MUNGU kwani Mke wangu ananifanya Nang’ara, ukiona mimi Nang’ara basi ni Mke wangu. Wewe ambaye hujaoa ndoa sio yako ni ya MUNGU wala usione kuwa kufunga Ndoa ni ngumu.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."