Jina langu ni NEEMA KALUGULA naishi Holland nina kila sababu ya kumshukuru Mungu, mwaka 2005 nilimtolea Mungu kiwanja cha kujenga kanisa. Mume wangu akataka kuniacha kabisa. Mungu akaniambia usijali watoto wako watasoma Ulaya. Nikapata kazi mahakama ya kimataifa na watoto wangu wamesoma Ulaya na mmoja ameanza kazi. Namshukuru Mungu alichokisema kimetimia. Pia mwanangu alipata ugonjwa wa kuanguka na kuzimia nikatuma maombi PRAYER HOUSE, EFATHA MINISTRYMWENGE wakamuombea na sasa mtoto wangu ni mzima na anaendelea na kazi. Ni mengi amenitendea. NAMSHUKURU BABA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA NA Wana maombi wa PRAYER HOUSE. MUNGU AWABARIKI SANA NI MIMI NEEMA KALUGULA. Kutoka HOLLAND.

dsc_7945

Comments