Jina langu ni NEEMA KALUGULA naishi Holland nina kila sababu ya kumshukuru Mungu, mwaka 2005 nilimtolea Mungu kiwanja cha kujenga kanisa. Mume wangu akataka kuniacha kabisa. Mungu akaniambia usijali watoto wako watasoma Ulaya. Nikapata kazi mahakama ya kimataifa na watoto wangu wamesoma Ulaya na mmoja ameanza kazi. Namshukuru Mungu alichokisema kimetimia. Pia mwanangu alipata ugonjwa wa kuanguka na kuzimia nikatuma maombi PRAYER HOUSE, EFATHA MINISTRYMWENGE wakamuombea na sasa mtoto wangu ni mzima na anaendelea na kazi. Ni mengi amenitendea. NAMSHUKURU BABA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA NA Wana maombi wa PRAYER HOUSE. MUNGU AWABARIKI SANA NI MIMI NEEMA KALUGULA. Kutoka HOLLAND.

dsc_7945

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."