MCHUNGAJI DAVID MWAKISOLE: SOMO: SIRI YA BARAKA ZA MUNGU WAPI ZILIPO: Kumbukumbu la torati 28:1 "takuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako. Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani" . Baraka sio kuwa na fedha peke yake kwani unaweza kuwa na fedha na bado ukawa umelaaniwa, baraka ni kuwa karibu na MUNGU ili uweze kupokea vya kwake. Asili ya baraka zote ni YESU na ili tuweze kuzipata hizo baraka ni lazima tuachane na mambo yote yanayo haribu uhusiano wetu na YESU na kutuweka mbali na MUNGU. Inawezekana ni dhambi ya uvivu, uvivu katika mambo ya MUNGU ni kikwazo kikubwa cha kupokea baraka zetu toka kwa MUNGU.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."