MCHUNGAJI DAVID MWAKISOLE: SOMO: SIRI YA BARAKA ZETU WAPI ZILIPO: Baraka maana yake ni kinyume cha laana, ukiambiwa umebarikiwa maana yake hujalaaniwa na ukiambiwa umelaaniwa maana yake kwako hakuna baraka. Laana imekuja baada ya mtu kumkosea MUNGU, mtu akikwambia umelaaniwa maana yake uko mbali na MUNGU na akikwambia umebarikiwa maana yake uko karibu na MUNGU. Asili ya baraka zote ni MUNGU mwenyewe, hutaweza kuziona baraka mpaka umepatana na MUNGU na ukifarakana naye tu utaanza kuona laana zikikufuata na kila unachokifanya kinaharibika.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."