Mchungaji David Mwakisole: SOMO: ASILI YA BARAKA ZETU NI KATIKA KRISTO YESU: Ili tuweze kuvuta BARAKA za MUNGU kwetu ni lazima tuwe na kitu cha kumpa MUNGU, tusiende mbele zake mikono mitupu, toa nguvu zako na mali zako, baraka haziji mpaka UMEFANYA KWA BIDII ndipo wale malaika waliotumwa kwako wanapopata nguvu ya kuvuka vizuizi na kukuletea BARAKA zako. Unapokuwa na AMANI ya YESU ndipo unaweza kuzalisha vitu vingi katika maisha yako. Ili shetani akuweze kitu cha kwanza anakuondolea AMANI kwa kukukumbusha yaliyopita. Ni kweli ulikuwa mwizi, mzinzi, mlevi lakini mara baada ya kuokoka YESU alisamehe yote sasa shetani asikukumbushe ya nyuma.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."