Mchungaji David Mwakisole: SOMO: ASILI YA BARAKA ZETU NI KATIKA KRISTO YESU: Waefeso 1:3 " Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo; " Baraka maana yake ni nini? Baraka sio fedha tu bali mtu akikwambia umebarikiwa inamaana kuanzia mwilini mpaka Rohoni uwe umebarikiwa. Kubarikiwa ni kuwa na AMANI ya kweli ndani ya moyo wako, unapokuwa na AMANI ndipo unaruhusu mema yanakujia, unapokuwa na UCHUNGU unamfukuza YESU ndani yako. Amani ni ya muhimu sana kwako ndio maana YESU alipokuja akawakuta wanafunzi wake wamejifungia kwa hofu aliwaambia AMANI IWE KWENU, hakuwaambia mimi ndiye YESU, ukiwa na AMANI ndipo YESU anasema na wewe kwa karibu sana. Kwa nini tunatakiwa kuwa na AMANI kwanza? Kukosekana kwa AMANI ndani ya moyo wa mtu ndicho chanzo cha mabaya mengi,

Comments