Mchungaji David Mwakisole: SOMO: ASILI YA BARAKA ZETU NI KATIKA KRISTO YESU: Waefeso 1:3 " Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo; " Baraka maana yake ni nini? Baraka sio fedha tu bali mtu akikwambia umebarikiwa inamaana kuanzia mwilini mpaka Rohoni uwe umebarikiwa. Kubarikiwa ni kuwa na AMANI ya kweli ndani ya moyo wako, unapokuwa na AMANI ndipo unaruhusu mema yanakujia, unapokuwa na UCHUNGU unamfukuza YESU ndani yako. Amani ni ya muhimu sana kwako ndio maana YESU alipokuja akawakuta wanafunzi wake wamejifungia kwa hofu aliwaambia AMANI IWE KWENU, hakuwaambia mimi ndiye YESU, ukiwa na AMANI ndipo YESU anasema na wewe kwa karibu sana. Kwa nini tunatakiwa kuwa na AMANI kwanza? Kukosekana kwa AMANI ndani ya moyo wa mtu ndicho chanzo cha mabaya mengi,

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."