PASTOR MICHAEL OLAWARE KUTOKA UK (KATIKA KUSANYIKO KUU 2016) SOMO : KUVUNJA KIZUIZI MBELE YAKO Ukivunja vizuizi itakurahisishia kufika mbali kwa sababu mbele ya kuvunja mipaka kuna Baraka zako ila usipo vunja utabaki hapo ulipo. Maisha ya kawaida ni tatizo hakuna mtu aliumba kuishi maisha ya kawaida bali kipo kizuizi kinacho kuzuilia kufika mahali ambapo Mungu amekukusudia. Vikwazo ni:- 1. Mazoea : Amua kutoka kwenye aina ya maisha uliyoyazoea 2. Maoni ya wanadamu: Acha kusikiliza kile watu wanasema juu yako, kwama huwezi hiki au kile 3. Wewe mwenyewe kuwa kikwazo: Kujiona huwezi, eti kwa kuwa hujasoma, au familia yenu haijaifanikiwa. UKITAKA KUFANIKIWA LAZIMA USHINDE HIVYO VIKWAZO


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."