Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira: Amani ni ufunguo wa mafanikio na kama hauna amani sahau kufanikiwa hivyo amani ni jambo la muhimu sana katika maisha yako na inakutenga mbali na maadui. Amani inakupa afya kama hauna amani hata afya yako itakuwa mbaya, siku utakapopokea amani katika maisha yako ndipo mafanikio yako yataitika. Kukosa amani kunasababisha tatizo la kungoa meno na kuvaa miwani katika umri mdogo.


Comments