Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira: Kazi za Roho wa Bwana juu yangu: 1. Kuhubiri injili, 2. Kuponya na kufanya miujiza, 3. Kufungua macho ya vipofu na kuwapa watu mafunuo, Mithali 8:17-20 “Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, .....” 4. Kuwekwa huru, huwezi kupata uhuru kama hujajua kweli na kweli tunaipata kupitia macho yetu, ukishawekwa huru ndipo unaweza kuomba, kama hujakombolewa au hujawekwa huru utakuwa hauabudu bali unalia tu. Ukombozi sio kumtoa mtu pepo bali ni kumwamisha mtu kutoka katika maisha aliyoyazoea. 5. Yuko ili akupe amani. Unapokuwa na vurugu mahali anakupa amani na usipokuwa na huyu Roho utaona vurugu kila mahali hata mtu anafika mahali anasema watu hawanipendi. Roho wa Bwana anapokuja kwa mtu kitu cha kwanza anampa amani.


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."