MCH. MICHAEL OLAWORE KUTOKA UK (Hapa Precious Center Kibaha).. Rumi 8:1 “Sasa, basi, hakuna hukumu ya adhabu juu yao walio katika Kristo Yesu.” Akili yako inaweza kutawaliwa, akili yako ikishikwa na Roho wa Mungu itakuwa salama lakini ikishikwa na ibilisi ni tatizo, ruhusu akili yako itawaliwe na Roho Mtakatifu itasababisha matokeo chanya. Kila kinachoshika akili yako kitaamua matokeo ya maisha yako. Mruhusu ROHO wa MUNGU aongoze akili yako Leo.


Comments