MCHUNGAJI: MELENIA IRENGO SOMO: TABIA Tabia ni nini? Tabia ni matendo, mienendo au sifa mbalimbali za mtu zinazoambatana na matendo yake au Nafsi yake. Tabia ziko za aina mbili:- 1. Tabia nzuri: Hii ni tabia inayotoka kwa Mungu. 2. Tabia mbaya: Hii ni Tabia inayotoka kwa ibilisi. Uwe na TABIA NZURI ili watu watamani kuwa kama wewe kwa sababu tabia nzuri INAVUTA watu karibu na wewe. Mfano mzuri ni BWANA wetu YESU KRISTO alikuwa na tabia ya KUWAVUTA WATU ILI WAMJUE MUNGU. Uwe na tabia ya kuwavuta watu ili wamjue Mungu na usiwe na tabia ya kuwakimbiza watu, iwe ni kwa maneno au kwa chochote kile mahali popote utakapokuwepo. Wagalatia 5:16-24 “Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili. Kwa sababu mwili hutamani ukishindana na Roho, na Roho kushindana na mwili; kwa maana hizi zimepingana, hata hamwezi kufanya mnayotaka.......”


Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."