MAMA ELIAKUNDA MWINGIRA: Usiangalie mazingira uliyonayo maana ukiangalia mazingira huta toka bali inua macho yako kwa Bwana na umtazame yeye tu maana yeye ndiye msaada wako na hata kuacha kamwe. Ndani ya Kristo Yesu kuna raha, jifunze kujitamkia mazuri maana kinywa chako kinaumba usiseme hawanipendi, maana jinsi ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Je unajionaje wewe? Mnyonge, mbaya au hufai ? Mungu hata pingana na wewe. Mungu siyo Shangazi yako wala Mjomba wako Mungu ni Mungu tu na wala usimfananishe na Mwanadamu. kama Shangazi yako au Baba yako anakuchukia usimfananishe na Mungu, Mungu wetu ni Mungu wa Upendo anakuwazia mema kila iitwapo leo.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."