Mch Daniel Njuguna KAZI YA VIPAWA 1. Nikushughulikia WATAKATIFU yaani wateule 2. Kujenga WATAKATIFU waufikie uteule wao 3. Kuujenga mwili wa Kristo ili kuijenga Imani 4. Kipawa lazima kiongezeke kutoka daraja hadi daraja Mtu aliyepokea kipawa chake na kukitunza huwa hayumbishwi kwa kitu chochote. Efeso 2:8-10 “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.” Yapo mambo ambayo Mungu aliyatengeneza ndani yetu lakini hatuyajui hiyo ndio inapelekea wengi kupoteza hicho kitu, utakapotambua kuwa unakipawa na unakitendea kazi ndipo kipawa hicho kitakapofanya kazi ndani yako.

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."