MCHUNGAJI DAVID MWAKISOLE
1korintho 12:1-3 “ Basi, ndugu zangu, kwa habari ya karama za roho, sitaki mkose kufahamu. Mwajua ya kuwa mlipokuwa watu wa Mataifa, mlichukuliwa kufuata sanamu zisizonena, kama mlivyoongozwa. Kwa hiyo nawaarifu, ya kwamba hakuna mtu anenaye katika Roho wa Mungu, kusema, Yesu amelaaniwa; wala hawezi mtu kusema, Yesu ni Bwana, isipokuwa katika Roho Mtakatifu. ”
Kunatofauti ya karama za rohoni, Kanisa la Mungu linapaswa kuishi kwa kuheshimiana, kwa mujibu wa Biblia inasema hakuna mtu kamili bali ni mimi na wewe tukigawiana karama na vipawa tulivyopewa na Mungu ndio tunakuwa kamili ndio maana tunafananishwa na mwili, mkono pekee hauwezi kuwa mwili mmoja bila mguu sikio kichwa na viungo vingine.

Comments