Mchungaji Daudi Urio:
Kwanini alituchagua?
1) Alituchagua kwasababu tulikuwa mahali pengine.
Zaburi 58:3 "Wasio haki wamejitenga tangu kuzaliwa kwao; Tangu tumboni wamepotea, wakisema uongo"
2) Alituchagua ili tuwe hivi tulivyo.
Yoana 15:16a"Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni."
3)Alituchagua ili tuwe marafiki zake.
Yoana 15:15" Siwaiti tena watumwa; kwa maana mtumwa hajui atendalo bwana wake; lakini ninyi nimewaita rafiki; kwa kuwa yote niliyoyasikia kwa Baba yangu nimewaarifu.

Comments