Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira: Zaburi 34: 1-9" Nitamhimidi Bwana kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima. Katika Bwana nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie wakafurahi. Mtukuzeni Bwana pamoja nami, Na tuliadhimishe jina lake pamoja..." Daudi anasisitiza kumwabudu MUNGU kwakuwa yeye anaondoa hofu na kukufanya uwe huru mbali na taabu. Unapokuwa mtakatifu yeye huondoa uitaji na ufukara. Ndege wa angani wanakula na kulisha watoto wao, maua ya kondeni yanavaa je nyie sio zaidi? Tatizo watakatifu wa Mungu tunaviburi.

Comments