IBADA YA MFUNGO WA MWEZI WA TANO SIKU YA KUMI NA SITA IBADA YA MAOMBI

MAOMBI:
1.    Bwana Yesu wewe ni kiongozi na Bwana wetu wewe ni Mfalme wetu nipe kutumia Heshima yako katika kuenenda kwangu mbele zako, ili kushinda kila aina ya kikwazo cha adui shetani na mawakala wake.

2.    Bwana Yesu nipe kushinda kwa ajili ya Ufalme wako, nikitumia kweli yako, upendo wako na Imani niliyonayo kwa BWANA MUNGU wetu. Mathayo 5:1-48.

3.    Bwana Yesu kwa neema yako nataka nikae hemani mwako, chini ya mbawa zako, nifurahie uwepo wako daima siku zote za maisha yangu uliyonipa siku za uhai wangu.


Comments

  1. Mume wangu amerudi!!! Baada ya miaka 1 ya ndoa iliyovunjika, mume wangu aliniacha na watoto wawili na maisha yangu yalivunjika. Nilitaka kuyamaliza, nusura nijiue maana alituacha bila chochote. Nimekuwa nimevunjika kihisia wakati huu wote na maisha yanaonekana kutokuwa na maana. Siku moja mwaminifu, nilipokuwa nikivinjari mtandao, nilikutana na baadhi ya shuhuda kuhusu Dk DAWN. Baadhi ya watu walishuhudia kwamba alimrudisha mpenzi wao wa zamani, wengine walishuhudia kwamba anarejesha tumbo na kuponya magonjwa kwa mimea. Nilipendezwa zaidi na upatanisho na mume wangu, ambao Dk. DAWN aliwezesha kumrudisha mume wangu ndani ya siku 3. Sasa mume wangu amerudi na tumekuwa tukiishi kwa furaha tangu wakati huo. Shukrani zote kwa Dk DAWN. Hapa, ninaacha mawasiliano yake kwa kila mtu. Maana kuna changamoto za aina yoyote,
    Barua pepe ( dawnacuna314@gmail.com )
    Whatsapp: +2349046229159

    ReplyDelete

Post a Comment