SHUHUDA:Naitwa Ester Emmanuel: Napenda kushukuru Mungu kupitia mchungaji Michael kutoka njee ya nchi, alihubiri akasema kuna mtu anaitwa Ester ana neno aliambiwa na Mungu na asipolifanyia kazi litageuka na kumfanya awe kinyago, nanilimuona Raisi Nyerere akiididimiza chini kuzimu na mimi nikaamrishwa kutamka maneno nikaamuru na pia nikawa nina kutana na Raisi Mwinyi nayeye pia hivyo hivyo na pia nikamkuta pia anadidimiza nchi na mwishowa siku nikamkuta mtu mwishoni akanyanyua ngumi kwa ushuhujaa mkubwa natukawa tumeshinda

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."