SHUHUDA: Kwajina naitwa Hilda Jeremia :Namshukuru Mungu kwasababu niliungua na mafuta nilidondokewa na dumu la mafuta liter 20, nilikuwanaumwa sana kidonda kilikuwa kikubwasana naniliandikiwa kulazwa lakini nilimpigia mama Mchungaji nikamwelezea akaniuliza kuwa mimi nasemaje kuhusu hilo nikamwambia sitalazwa kwakuwa baba Mtume na Nabii alisema hakuna kiongozi kulazwa na mimi ni kalishika neno la Baba nanilipona ndaniya mwezi mmoja

Comments