Pichani; Waimbaji wakimwimbia Mungu katika Madhabahu ya Efatha 'Precious center Kibaha', hakika Mungu wetu ni wa Upendo usio na kikomo, aijaza mioyo ya watu wake furaha
Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.
Comments
Post a Comment