Pichani; Mtumishi wa Mungu Mchungaji Michael Olaware kutoka Uingereza akitoa Neno la Mungu katika Kusanyiko kuu ndani ya mji wa Bwana Precious center Kibaha. Jinsi upendo wa Mungu usivyokuwa na ukomo kwa Mwanadam. Hupaswi kukata tamaa, wala kukwazika kisa umetengwa, wala kujihisi upweke na kujiona mwenye dhambi sana ikakufanya kushindwa kumwabudu Yeye. Mungu wetu upendo wake ni endelevu, mwendee kwa maombi huku ukiuachilia Moyo wako kwake maana upendo wake hauna kipimo naye atahuisha nafsi yako

Comments