Pichani; Mtumishi wa Mungu Mchungaji Michael Olaware kutoka Uingereza akitoa Neno la Mungu katika Kusanyiko kuu ndani ya mji wa Bwana Precious center Kibaha. Jinsi upendo wa Mungu usivyokuwa na ukomo kwa Mwanadam. Hupaswi kukata tamaa, wala kukwazika kisa umetengwa, wala kujihisi upweke na kujiona mwenye dhambi sana ikakufanya kushindwa kumwabudu Yeye. Mungu wetu upendo wake ni endelevu, mwendee kwa maombi huku ukiuachilia Moyo wako kwake maana upendo wake hauna kipimo naye atahuisha nafsi yako

Comments

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."