Kusikia ni muhimu kuliko unavyofikiri ndio maana imeandikwa kama mkisikia na kutii mtakula mema ya nchi.Watu wengi wanatamani kuona miujiza lakini mimi natamani mtu angesikia. Kusikia kunaenda na kupumua maana vyote vinaenda na hewa. Kuona kunaenda na kushika au kugusa. Ukisikia utakuwa watofauti kuliko wenzako, kusikia ndiko kunatofautisha mtu na mtu.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."