Kusikia ni muhimu kuliko unavyofikiri ndio maana imeandikwa kama mkisikia na kutii mtakula mema ya nchi.Watu wengi wanatamani kuona miujiza lakini mimi natamani mtu angesikia. Kusikia kunaenda na kupumua maana vyote vinaenda na hewa. Kuona kunaenda na kushika au kugusa. Ukisikia utakuwa watofauti kuliko wenzako, kusikia ndiko kunatofautisha mtu na mtu.

Comments

Post a Comment