NENO

Efeso 1:3 "Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni."
Ukitaka vitu vya ROHONI lazima uwe Mtu wa Ibada, BARAKA zetu zipo katika Roho.

Comments